HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Saturday, 23 December 2017

SERIKALI YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU, 3,033 WACHAGULIWA



Waziri wa Nchi ofisi ya Rais – TAMISEMI Seleman Jafo jana ametangaza ajira mpya kwa walimu ili kuziba nafasi zilizokuwa zimeachwa wazi na walimu katika shule za Msingi na Sekondari waliobainika kuwa na vyeti vya kughushi.
Akiongea na waandishi wa habari Jafo amesema baada ya uhakiki wa maombi yalitumwa, jumla 3,033 wamechaguliwa na kupangiwa vituo vya kazi, kati yao walimu 266 ni wa sekondari na 2,767 ni wa shule zaMsingi.
Walimu watatakiwa kuripoti katika ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri walizopangiwa na kisha kwenda kuripoti katika shule walizopangiwa, walimu wanatakiwa kuripoti December 27, 2017 hadi January 17, 2018 wakiwa na vyeti vyao,” – Jafo

No comments:

Post a Comment