
Licha ya Serikali kuonyesha
nia ya kufufua viwanda katika mkoa wa
Tanga bado wawekezaji wengi wa viwanda hivyo wanalalamikia changamoto
za uhaba wa nishati ya umeme pamoja na miundombinu ya reli.
Tanga bado wawekezaji wengi wa viwanda hivyo wanalalamikia changamoto
za uhaba wa nishati ya umeme pamoja na miundombinu ya reli.
Malalamiko hayo yametolewa na
Mkurungenzi Mtendaji wa kiwanda cha
kuzalisha Saruji cha Sungura,Fauzi Tamimu Wakati akiongea na Mtandao huu
kuhusu changamoto za ukuaji wa sekta hiyo mkoani hapa.
kuzalisha Saruji cha Sungura,Fauzi Tamimu Wakati akiongea na Mtandao huu
kuhusu changamoto za ukuaji wa sekta hiyo mkoani hapa.
Alisema kuwa iwapo huduma ya
umeme itaweza kuimarishwa na kuwa ya
uhakikia wawekezaji wengi wataweza kuja kuwekeza katika mkoa huo kwani
unamalighafi nyingi kwa ajili yaviwanda mbalimbali.
uhakikia wawekezaji wengi wataweza kuja kuwekeza katika mkoa huo kwani
unamalighafi nyingi kwa ajili yaviwanda mbalimbali.
“Umeme kukati kati pamoja na
wakati mwingine kuwa mdogo kabisa ni moja
ya vikwanzo vinavyosababisha kusitisha uzalishaji wakati mwingine kwa
kuhofia kuunga mashine hali inayosababisha hasara kubwa kwa
kiwanda”alisema Tamimu
ya vikwanzo vinavyosababisha kusitisha uzalishaji wakati mwingine kwa
kuhofia kuunga mashine hali inayosababisha hasara kubwa kwa
kiwanda”alisema Tamimu
"Kwa Mkoa wa Tanga waone
umuhimu wa kupunguza au kumaliza tatizo la
hitilafu ya umeme ,kwani haitakuwa na maana,Mkoa una viwanda vya
Saruji Vingi halafu bei ni sawasawa na maeneo ambayo hakuna kiwanda,"
alisema Mkurugenzi huyo
hitilafu ya umeme ,kwani haitakuwa na maana,Mkoa una viwanda vya
Saruji Vingi halafu bei ni sawasawa na maeneo ambayo hakuna kiwanda,"
alisema Mkurugenzi huyo
Akiongela kuhusu miundombinu
ya reli alisema kuwa iwapo itaimarishwa
kote nchini itaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa gharama za
usafirishaji wa bidhaa zao wanazizalisha kwenda kwenye masoko.
kote nchini itaweza kupunguza kwa kiwango kikubwa gharama za
usafirishaji wa bidhaa zao wanazizalisha kwenda kwenye masoko.
"Ili maendeleo katika
sekta ya viwanda yawepo ni lazima reli ifanye
Kazi kwani itasaidia kupunguza gharama,kwani kwa sasa gharama kubwa
ipo kwenye usafirishaji wa bidhaa" alisema Tamimu.
Kazi kwani itasaidia kupunguza gharama,kwani kwa sasa gharama kubwa
ipo kwenye usafirishaji wa bidhaa" alisema Tamimu.
Hata hivyo Mkurungenzi huyo
aliwashauri wazalishaji wa hapa nchini
kuhakikisha wanakuwa na malengo ya kuzalisha bidhaa zenye ubora ambazo
zitaweza kuuzika kwa irahisi hata nje ya nchi.
kuhakikisha wanakuwa na malengo ya kuzalisha bidhaa zenye ubora ambazo
zitaweza kuuzika kwa irahisi hata nje ya nchi.
Tamimu alisema kuwa ni lazima
uzalishaji wetu ulenge kuuza katika
masoko ya kidunia baada ya kutegemea masoko ya ndani kwani hapo ndio
tutaona faida ya sekta hiyo.
masoko ya kidunia baada ya kutegemea masoko ya ndani kwani hapo ndio
tutaona faida ya sekta hiyo.
"Kama bidhaa kutoka nje zinauzika
mpaka huku kwetu kwani ni nasie
tusiwe na malengo ya kushika hayo masoko ya kwao ili nchi yetu iweze
kufaidika na fursa hiyo" alisisitiza Mkurugenzi huyo
tusiwe na malengo ya kushika hayo masoko ya kwao ili nchi yetu iweze
kufaidika na fursa hiyo" alisisitiza Mkurugenzi huyo
No comments:
Post a Comment