HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 2 December 2015

STORI ZA ROONEY NA MWENDELEZO WA LIGI KUU YA SOKA NCHINI UINGEREZA NIMEKUWEKEA HAPA.



Matt Le Tissier anaamini staili ya uchezaji ya sasa ya Manchester United chini ya Meneja Louis van Gaal ndio imemuathiri Wayne Rooney na kumfanya aporomoke Kisoka.

Le Tissier, ambae ni Lejendari wa Southampton, amekiri Van Gaal anaipa Man United matokeo mazuri na sasa wako Pointi 1 tu toka Man City ambao ndio wanaongoza Ligi Kuu England lakini staili ya uchezaji ‘imemhujumu’ Wayne Rooney.

Rooney, ambae ndie Mfungaji Bora katika Historia ya England, Msimu huu amefunga Bao 2 na hajasaidia kufunga Bao lolote katika Ligi Kuu England wakati Misimu yake 11 akiwa na Man United alimudu kila Msimu kufunga zaidi ya Mabao 10.
Le Tissier aliiambia Sky Sports: "Rooney pengine ameathirika na uchezaji wa Man United wa mabadiliko ya falsafa ya kutoka ‘Tutashinda Mechi zote kwani tuna Wachezaji Bora’ hadi ya sasa ‘Hatutafungwa mwanzo!’
Gwiji huyo pia ametoboa kuwa Man United sasa hawashambulii kwa kutumia Wachezaji wengi kama zamani ambapo waliamini watashinda kila Mechi na hilo pia halimpi msaada Rooney kucheza vyema.
+++++++++++++++++++++++++++++++++
ROONEY-Magoli na Msaada wa Magoli:

MAGOLI
Msaada wa Magoli
2015/16
2
0
2014/15
12
5
2013/14
17
10
2012/13
12
10
2011/12
27
4
+++++++++++++++++++++++++++++++++
Msimu huu, Man United wanapondwa sana kwa kucheza kwa kujihami bila kustarehesha Mashabiki kama ilivyokuwa zama za Sir Alex Ferguson.
Lakini Matt Le Tissier amemsapoti Van Gaal kwa kudai Matokeo ni kitu cha muhimu na Soka ya Starehe baadae.
Le Tissier amesema: “Hiyo ndio kazi ya Meneja, kupata matokeo. Man United wamezoea kushinda kwa kishindo na staili ya juu lakini mwisho wa Siku wakimaliza ndani ya 4 Bora na hata kutwaa Ubingwa hakuna atakaekumbuka kwamba walikuwa doro. Msimu huu kwao muhimu ni kumaliza tena kwenye 4 Bora tena hasa ukitazama wapi walipo tangu Sir Alex Ferguson aondoke!”
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba
**Saa za Bongo
Jumamosi Desemba 5
1545 Stoke v Man City           
1800 Arsenal v Sunderland             
1800 Man United v West Ham         
1800 Southampton v Aston Villa              
1800 Swansea v Leicester               
1800 Watford v Norwich                 
1800 West Brom v Tottenham                  
2030 Chelsea v Bournemouth         

Jumapili Desemba 6
1900 Newcastle v Liverpool            
Jumatatu Desemba 7
2300 Everton v Crystal Palace         
 MSIMAMO WA LIGI
#
Team
MP
W
D
L
F
A
D
P
1
14
9
2
3
30
14
+16
29
2
14
8
5
1
29
21
+8
29
3
14
8
4
2
20
10
+10
28
4
14
8
3
3
24
12
+12
27
5
14
6
7
1
24
11
+13
25
6
14
6
5
3
18
15
+3
23
7
14
7
1
6
19
14
+5
22
8
14
6
4
4
25
21
+4
22
9
14
5
6
3
27
19
+8
21
10
14
5
5
4
20
17
+3
20
11
14
5
4
5
15
16
-1
19
12
14
5
4
5
11
14
-3
19
13
14
5
3
6
13
18
-5
18
14
14
4
3
7
17
23
-6
15
15
14
3
5
6
14
19
-5
14
16
14
3
4
7
17
25
-8
13
17
14
3
3
8
16
26
-10
12
18
14
2
4
8
17
30
-13
10
19
14
2
4
8
14
30
-16
10
20
14
1
2
11
12
27
-15
5

No comments:

Post a Comment