HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 13 April 2015

YOTE MUHIMU KUHUSU LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA NIMEKUWEKEA HAPA MTU WANGU..!! "click"



Kiungo wa kimataifa wa Rwanda
na Klabu ya Yanga
Haruna Niyonzima a.k.a Fabregas
Kiungo wa kimataifa wa Rwanda Haruna Niyonzima jana ameongoza mauwaji kwa Mbeya ciity katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam baada ya kuhusika katika magoli mawili kati ya magoli 3 waliy0pata Yanga.

Yanga hii leo waliwakaribisha Mbeya city katika uwanja wa Taifa na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 3-1, matokeo yanayo wafanya wakaribie kujihakikishia ubingwa wa Tanzania bara.Katika kipindi cha kwanza yanga walikitawala na kutengeneza nafasi kadhaa ambapo walifanikiwa kuzitumia nafasi mbili kujipatia magoli huku Mbeya city ikitengeneza nafasi tatu na kutumia moja.

Yanga waliandika goli lao la kwanza katika dakika ya 18 kupitia kwa Kpah Sherman ambapo ni goli lake la pili katika ligi kuu ya vodacom.

Kuingia kwa goli hilo lilipelekea Mbeya city nao kujaribu kupeleka mashambulizi ambapo walifanikiwa kutengeneza nafasi mbili za kujipatia goli la kusawazisha lakini waliishia kuzipoteza.

Katika dakika ya 38 Yanga waliandika goli la pili kupitia kwa Salum Telela aliyeunga mpira wa adhabu uliopigwa na Haruna Niyonzima na kuifanya yanga kwenda mapmziko wakiwa na goli 2.



 Mbeya city walipata goli lao katika dakika ya 40 kupitia kwa Themi Felix 'Mnyama na kupelekea yanga kuongeza kasi katika kulishambulia lango la Mbeya city bila mafanikio na kupelekea mchezo kwenda mapumziko mbeya city wakiwa na goli 1, yanga wakiwa na mawili.

Yanga walirejea kipindi cha pili kama walivyomaliza kipindi cha kwanza na katika dakika ya 51 mpira wa faulo uliopigwa na Haruna Niyonzima uliungwa vyema na nahodha Nadir Haroub Cannavaro na kuipatia goli la 3 yanga sc.

Katika dakika ya 56 mshambuliaji wa Mbeya city Themi Felixs alizawadiwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumkwatua Salim Telela, na kupelekea Mbeya ity kumaliza wakiwa pungufu.

Baada ya kadi hiyo nyekundu Telela alitolewa nnje na nafsi yake kuchukuliwa na Said Dilunga huku Mbeya city wakifanya mabadiliko ya wachezaji wa wili waliopelekea kupunguza kasi ya yanga.

Mpaka mwamuzi wa mchezo huo Akrama akipuliza kipenga cha mwisho, Yanga walikuwa mbele kwa goli 3 dhidi ya goli 1 a Mbeya city.

Kwa matokeo hayo yanga wanazidisha wigo wa tofauti ya poinyi baina yake na Azam Fc kutoka katika pointi 5 mpaka kufikia pointi 8.

Katika mchezo mwingine wa jana uliopigwa kwenye uwanja wa CCM Kambarage huko Shinyanga wenyeji Stand walishinda 1-0 dhidi ya Polisi Morogoro.
Katika mchezo huo goli la Stand united lilipatikana kupitia kwa Chidiebele Salim katika dakika ya 56 na kuipatia timu yake ushindi wa goli 1-0 na kuifanya ifikishe point 27.
MSIMAMO
Rn
Timu
P
W
D
L
F
A
Gd
Pts
1
Yanga
21
14
4
3
39
12
27
46
2
Azam FC
20
10
8
2
27
14
13
38
3
Simba Sc
21
9
8
4
27
15
12
35
4
Kagera Sugar
21
7
7
7
19
20
-1
28
5
Mgambo Shooting
20
8
3
9
17
19
-2
27
6
Stand United
21
7
6
8
18
23
-5
27
7
Coastal Union
23
6
9
8
16
23
-7
27
8
Ruvu Shooting
21
6
8
7
14
18
-4
26
9
Mbeya City
22
5
10
7
17
21
-4
25
10
Ndanda Fc
22
6
7
9
18
24
-6
25
11
Mtibwa Sugar
21
5
9
7
20
22
-2
24
12
Jkt Ruvu
22
6
6
10
16
22
-6
24
13
T. Prisons
21
3
12
6
14
20
-6
21
14
Polisi Moro
22
4
9
9
13
22
-9
21

WAFUNGAJI
Wanaoongoza ufungaji ligi kuu Tanzania bara 2014/2015.
Simon Msuva (Yanga) 13
Rashid Habibu Mandawa (Kagera) 10
Didier Kavumbagu (Azam) 10
Jocelyn Amiss Tambwe (Yanga) 9
Abasirim Chidiebere(Stand) 8
Amour Ally (Mtibwa) 7
Emanuel Okwi (simba ) 7

MICHEZO INAYOKUJA
2015-04-13
16:00
KAGERA SUGAR
Vs    
RUVU SHOOTING
2015-04-15
16:00
MGAMBO JKT
Vs    
AZAM FC
2015-04-18
16:00
Polisi Moro
Vs    
Ndanda Fc
16:00
Stand United
Vs    
Jkt Ruvu
16:00
Ruvu Shooting
Vs    
Mgambo Jkt
16:00
Mbeya City
Vs    
Simba Sc
16:00
Yanga
Vs    
Etoile Du Sahel(CAF Shirikisho)



















No comments:

Post a Comment