HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 9 April 2015

MAMIA YA WAKAZI WA KISOSORA WAJITOKEZA KUMZIKA EDWARD MKELO MDOGO WAKE NA MTANGAZAJI VICTOR MKELO.

R.I.P Edward Cathbert Mkello enzi za Uhai wake





Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Redio Huruma Fm wakiwa kwenye Msiba huo.
Kaka wa Marehemu Edward "Victor Mkello ambaye ni mwandishi na mtangazaji wa Redio Huruma fm akiweka shada la maua kwenye kaburi la mdogo wake baada ya Mazishi.

Baadhi ya Wanasalamu waliofika kwenye msiba huo (Mlingano Wilayani Muheza)






No comments:

Post a Comment