HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Sunday, 22 March 2015

WAKURUGENZI WA MAKAMPUNI WASHTUSHWA NA KUONGEZEKA KWA VITENDO VYA UFISADI NCHINI.




Mazungumzo ya wakurugenzi nchini Tanzania, ambayo ni jukwaa la sera linalokutanisha maofisa wakuu watendaji wa karibu kampuni 100 zinazofanya biashara nchini Tanzania, jana yalieleza wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa vitendo vya ufisadi nchini.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mkutano huo, ufisadi unaendelea kurudisha nyuma juhudi za maendeleo ya uchumi wa Tanzania, na kwamba utendaji mbaya wa viongozi unaozidi kuongezeka unatoa tahadhari pia vitendo vya wizi wa rasilimali za umma na kuhamisha fedha za umma vinavyofanywa na maofisa kwa manufaa yao binafsi vimepunguza imani ya watu katika uongozi, na kuendeleza kuibuka kwa utamaduni wa kutoadhibu wahalifu, kupuuza sheria na kutukuza kukiuka maadili.


"Kwa sasa Tanzania ni nchi ya 119 kati 175 katika viwango vya rushwa, na kushuka kwa nafasi mbili katika miaka miwili iliyopita"

No comments:

Post a Comment