HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 26 March 2015

MOURINHO NA MESSI NDIO WANASOKA MATAJIRI DUNIANI.



Mtandao wa France Football Rich List umetoa ripoti kuhusu makocha na wachezaji matajiri Duniani. Kocha Jose  Mourinho wa Chelsea ndiye kocha anaingiza fedha nyingi zaidi duniani. Mourinho ameweza kuingiza hadi kitita cha pauni milioni 13.2 kwa mwaka huku akifuatiwa na Carlo Ancelotti wa Real Madrid aliyeingiza pauni milioni 11.

10 BORA YA MAKOCHA WENYE UTAJIRI MKUBWA
1. Jose Mourinho £13.2m
2. Carlo Ancelotti £11.4m
3. Pep Guardiola £11.2m
4. Arsene Wenger £8.3m
5. Louis van Gaal £7.3m
6. Fabio Capello £6.6m
7. Andre Villas-Boas £6.2m
8. Sven-Goran Eriksson £5.9m
9. Jurgen Klopp £5.3m
10. David Moyes na Laurent Blanc £5.1m

Lionel Messi ndiye mwanasoka tajiri zaidi duniani baada ya kuingiza karibu pauni milioni moja kwa wiki katika fedha zake za ujira pamoja na alizokuwa akilipwa na wadhamini mbalimbali. Kutokana na fedha hizo, raia huyo wa Argentina anayekipiga Barcelona alitundika benki hadi kitita cha pauni milioni 47.8. Katika fedha hizo pauni milioni 26 zilitokana na mshahara tu anaolipwa na Barcelona.Mpinzani au mshindani wa mkubwa Cristiano Ronaldo pauni milioni 39.7.

TOP 10 YA WANASOKA WENYE MKWANJA ZAIDI.
1. Lionel Messi £47.8m
2. Cristiano Ronaldo £39.7m
3. Neymar £26.8m
4. Thiago Silva £20.2m
5. Robin van Persie £18.8m
6. Gareth Bale £17.5m
7. Wayne Rooney £16.5m
8. Zlatan Ibrahimovic £15.8m
9. Sergio Aguero £15.6m
10. Robert Lewandowski £14.8m

No comments:

Post a Comment