HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 1 December 2014

NICKI MINAJ AIFIKIA REKODI YA MADONNA.



Rapper kutoka Young Money Nicki Minaj amekuwa kwenye nafasi nzuri katika rekodi za bilboard kwa kuwa na nyimbo 56 kwenye chati hizo. Wimbo wa Nicki Minaj “Bed Of Lies” aliofanya na Skylar Grey umeingia kwenye chati za bilboard na kumuweka nafasi moja na msanii Madonna na Dionne Warwick.
Wasanii ambao wanaoshikilia rekodi hii ni pamoja na Aretha Franklin mwenye nyimbo 73, Taylor Swift mwenye nyimbo 66. Albm mpya ya Minaj The Pink Print Inatoka December 15.

No comments:

Post a Comment