HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 2 December 2014

"Bonyeza hapa" KWA HABARI ZA KIMICHEZO KUTOKA MAJUU.!!



AGUERO ATEULIWA NA MASHABIKI KUWA MCHEZAJI BORA WA MWAKA
Sergio Aguero ameibuka kidedea na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka kupitia tuzo ambayo hutolewa na mashabiki wa soka.
Tuzo hiyo hutolewa na Chama cha Mashabiki wa Soka na Aguero ndiye amekuwa kinara.
Muargentina huyo sasa ni kinara wa mabao England na anaonekana kuwa mmoja wa washambuliaji hatari zaidi watatu wa juu England.
Katika utolewaji wa tuzo hizo jana kwenye Ukumbi wa St Pancras Renaissance Hotel in London, Aguero aliongozana na mpenzi wake, Karina Tejeda.
VICHWA VITATU VYA BALLON D'OR HIVI HAPA, MSHINDI JANUARI MWAKANI
Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndiyo vichwa vitatu vilivyoteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d'Or 2014.
Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015.
Neuer, 28, aliteuliwa mara ya mwisho mwaka 2006 kuwania tuzo hiyo, usisahau ndiye aliiwezesha Ujerumani kubeba Kombe la Dunia Brazil mwaka huu.

Messi, ndiye mchezaji anaongoza kwa kutwaa tuzo nyingi kama hizo, amebeba mara nne na kwa jina la Ballon d'Or ni kwa miaka hii (2009-2012).
Cristiano Ronaldo anapambana kupata tuzo yake ya tatu Ballon d'Or.
Alitwaa ya kwanza mwaka 2008 akiwa na Manchester United na mara ya mwisho akiwa na Real Madrid na ndiye mtetezi.
Uteuzi wa Kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer , unamfanya awe Kipa wa kwanza kuteuliwa kuwa Mgombea Ballon d'Or tangu Mwaka 2002 wakati Oliver Kahn aliechezea pia Bayern Munich na Germany.
Kwa upande wa Wanawake, Wagombea Tuzo ya Mchezaji Bora Duniani ni Nadine Kessler (Germany), Marta (Brazil) na Abby Wambach (USA).
Kwa upande wa Makocha, Wagombea waliofika Fainali ni Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti, Kocha wa Mabingwa wa Dunia Joachim Low na Kocha wa Mabingwa wa Spain Atletico Madrid Diego Simeone.
Washindi wa Tuzo hizo watatangazwa hapo Januari 12 sambamba na Mshindi wa Ballon d'Or.

THIERRY HENRY ATUNGIKA DALUGA MAREKANI, APANIA KURUDI KIVINGINE ARSENAL
MSHAMBULIAJI Thierry Henry ametangaza kuondoka klabu ya New York Red Bulls ya Marekani baada ya kuitumikia kwa miaka minne na nusu katika Ligi Kuu ya nchini humo.
Mwanasoka huyo wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa, ametangaza uamuzi wake huo siku tatu baada ya kukiri anapenda kurudi Arsenal, na kubadilisha picha yake ya bango katika ukurasa wake wa Facebook kwa kuweka picha ya Uwanja wa Emirates.
Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 37 atatumia wiki chache zijazo kuamua mustakabali wake wa baadaye wa maisha, huku kufundisha klabu katika Ligi Kuu ya England ikiwa moja ya mipango.MATAJI YA THIERRY HENRY NA KLABU ALIZOCHEZEA
Henry aliliambia jarida la L'Equipe la Ufaransa Ijumaa kwamba atabakia kwenye soka baada ya kustaafu kama mchezaji kwa kugeukia ukocha, ushauri au utendaji.
Mshindi huyo wa Kombe la Dunia mwaka 1998 amekiri kujuta kushindwa kuisaidia Arsenal kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya na ndiyo maana anataka kwenda kutoa mchango wake katika klabu ipate mafanikio Ulaya.

MAN U YANG'ANG'ANA NAFASI YA NNE..!

Manchester United, wakicheza kwao Old Trafford, wameichapa Stoke City Bao 2-1 na kubakia Nafasi ya 4 kwenye Msimamo wa Ligi Kuu England huku wakipata ushindi wao wa 4 mfululizo kwenye Ligi baada ya Miezi 12.
Wakicheza bila Majeruhi Nahodha wao Wayne Rooney na Angel Di Maria, Bao za Man United zilifungwa na Marouane Fellaini, Dakika ya 21, na Frikiki ya Dakika ya 59 ya Juan Mata ambayo Marcos Rojo alidai kuigusa kwa Kichwa na kutinga.
Kama Goli hilo atapewa Rojo basi hilo ni Bao lake la kwanza kwa Man United.
Bao la Stoke lilifungwa na Steven N’Zonzi Dakika ya 39.


MATOKEO:
Jumanne Desemba 2
Burnley 1 Newcastle 1          
Leicester 1 Liverpool 3        
Man United 2 Stoke 1          
Swansea 2 QPR 0               
Crystal Palace 0 Aston Villa 1
West Brom 1 West Ham 2  
++++++++++++++++++++
RATIBA:
**Saa za Bongo
Jumatano Desemba 3
2245 Arsenal v Southampton               
2245 Chelsea v Tottenham         
2245 Everton v Hull         
2245 Sunderland v Man City 
#
Team
MP
W
D
L
F
A
D
P
1
13
10
3
0
30
11
+19
33
2
13
8
3
2
27
13
+14
27
3
13
8
2
3
24
9
+15
26
4
14
7
4
3
24
16
+8
25
5
14
7
3
4
23
17
+6
24
6
14
6
4
4
19
14
+5
22
7
13
5
5
3
21
15
+6
20
8
14
6
2
6
19
19
+0
20
9
13
6
2
5
18
18
+0
20
10
14
5
5
4
15
17
-2
20
11
13
4
5
4
23
21
+2
17
12
14
4
4
6
8
18
-10
16
13
14
4
3
7
14
18
-4
15
14
13
2
8
3
12
19
-7
14
15
14
3
4
7
18
23
-5
13
16
14
3
4
7
14
20
-6
13
17
14
2
6
6
10
22
-12
12
18
13
2
5
6
14
20
-6
11
19
14
3
2
9
14
27
-13
11
20
14
2
4
8
14
24
-10
10

No comments:

Post a Comment