HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 10 December 2014

MKAZI WA MUHEZA MKOANI TANGA AJINYONGA KWA KAMBA YA KATANI.



MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Hassan Bakari mwenye umri wa miaka 55 amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kamba ya katani aliyoifunga kwenye mti wa michungwa shambani kwake.

Akitoa taarifa hiyo kwa Waandishi wa Habari Ofisini kwake jijini Tanga kamanda wa Jeshi la polisi mkoa Tanga Frasser Kashai amesema tukio hilo limetokea mnamo tarehe 8 desemba mwaka huu majira ya saa 12:00 mchana huko kijiji cha Pangamlima kata ya Kwafungo ,Tarafa Mbwembwela Wilaya ya Muheza .

Adha amesema chanzo cha mtu huyo kujinyonga hakijajulikana nab ado kinachunguzwa ambapo hakuna aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo.

No comments:

Post a Comment