HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Sunday, 21 December 2014

MICHEZO: EPL “LIVERPOOL YANUSURIKA NYUMBANI DK 97, NI SARE 2-2 NA ARSENAL”



Jumapili Desemba 21
Newcastle 0 Sunderland 1          
Liverpool 2 Arsenal2
++++++++++++++++++++++
Liverpool, wakicheza kwao Anfield jana, wamejinusuru kwa kusawazisha Bao katika Dakika ya 96 walipokuwa nyuma kwa Bao 2-1 walipocheza na Arsenal na Refa Michael Oliver kuongeza Dakika 9 za nyongeza kufidia muda ambao Beki wao Martin Skrtel alipokuwa akitibiwa na ni yeye Skrtel ndie alisawazisha Bao hilo kwa Kichwa.
Liverpool walitangulia kufunga Bao katika Dakika ya 45 kupitia Phillippe Coutinho na Arsenal kusawazisha Dakika moja baadae kwa Bao la Mathieu Debuchy.
Kipindi cha Pili, Olivier Giroud aliipa Arsenal Bao la Pili na lilidumu hadi Dakika ya 90 ambapo Refa Michael Oliver aliongeza Dakika 9 za Majeruhi na Dakika 3 baadae Liverpool kubaki Mtu 10 baada ya Fabio Borini kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu baada ya kumchezea Rafu Cazorla.
Zikiwa zimebaki Dakika 3 za muda wa Majeruhi uliongezwa kwa kuumia Sentahafu wa Liverpool Martin Skrtel, Beki huyo huyo ndie alieunganisha Kona ya Adam Lallana kwa Kichwa na kuipa Liverpool Sare ya Bao 2-2.

++++++++++++++++++++++

MAGOLI:
Liverpool 2
-Phillippe Coutinho Dakika ya 45
-Martin Skrtel 90 +6:05
Arsenal 2
-Mathieu Debuchy Dakika ya 45 +1:07
-Olivier Giroud 64

++++++++++++++++++++++
Matokeo haya yamewaacha Liverpool wakiwa Nafasi ya 10 wakiwa na Pointi 22 huku Arsenal wakiwa Nafasi ya 6 wakiwa na Pointi 27 na Timu zote zikibaki kutupwa mbali kidogo na Timu 4 za juu ambapo Timu iliyo Nafasi ya 4, West Ham, ina Pointi 31.
Ligi Kuu England itaendelea Jumatatu Usiku wakati Vinara wa Ligi Chelsea watakapotembelea Britannia Stadium kucheza na Timu ngangari Stoke City.
LIGI KUU ENGLAND RATIBA MECHI ZA MWISHO MWAKA HUU NA MWANZONI 2015
**Saa za Bongo



Jumatatu Desemba 22
2300 Stoke v Chelsea

Ijumaa Desemba 26
1545 Chelsea v West Ham          
1800 Burnley v Liverpool            
1800 Cry Palace v Southampton                
1800 Everton v Stoke                
1800 Leicester v Tottenham                 
1800 Man United v Newcastle              
1800 Sunderland v Hull              
1800 Swansea v Aston Villa                 
1800 West Brom v Man City                 
2030 Arsenal v QPR

Jumapili Desemba 28
1500 Tottenham v Man United             
1705 Southampton v Chelsea     
1800 Aston Villa v Sunderland              
1800 Hull v Leicester                 
1800 Man City v Burnley            
1800 QPR v Crystal Palace          
1800 Stoke v West Brom            
1800 West Ham v Arsenal          
1915 Newcastle v Everton          

Jumatatu Desemba 29
2300 Liverpool v Swansea          
Alhamisi Januari 1
1545 Stoke v Man United           
1800 Aston Villa v Crystal Palace          
1800 Hull v Everton         
1800 Liverpool v Leicester          
1800 Man City v Sunderland                 
1800 Newcastle v Burnley           
1800 QPR v Swansea                 
1800 Southampton v Arsenal               
1800 West Ham v West Brom               
2030 Tottenham v Chelsea

England - Premier League Powered by
#
Team
MP

P
1
Chelsea
16

39
2
Manchester City
17

39
3
Manchester United
17

32
4
West Ham United
17

31
5
Southampton
17

29
6
Arsenal
17

27
7
17

27
8
Swansea City
17

25
9
Newcastle United
17

23
10
Liverpool
17

22
11
Everton
17

21
12
Aston Villa
17

20
13
Stoke City
16

19
14
Sunderland
17

19
15
West Bromwich …
17

17
16
Queens Park Ra…
17

17
17
Crystal Palace
17

15
18
17

15
19
Hull City
17

13
20
Leicester City
17

10

No comments:

Post a Comment