HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 4 December 2014

MAKUNDI AFCON 2015 YAPANGWA, KAZI IPO KUNDI C GHANA, SENEGAL,ALGERIA NA AFRIKA KUSINI.!!



Ratiba ya makundi ya kombe la nchi za Afrika mwaka 2015 yalitangazwa jana  usiku huko Malabo nchini Equatorial Guinea,ni makundi manne yenye timu nne na mashindano hayo yataanza mwezi wa kwanza tarehe 17.
Makundi yamebadilishwa ndani ya wiki moja baada yakuingiza timu mwenyeji wa mashindano Equatorial Guinea iliyochukua nafasi ya Morocco iliyojitoa kwenye mashindano hayo kutokana na tishio la ugonjwa wa ebola
Bingwa mtetezi timu ya taifa ya Nigeria imeshindwa kufuzu.

Makundi hayo ni kama yafuatayo;
Group A: Equatorial Guinea, Congo, Gabon, Burkina Faso
Group B: Zambia, DR Congo, Cape Verde, Tunisia
Group C: Ghana, Senegal, South Africa, Algeria
Group D: Ivory Coast, Guinea, Cameroon, Mali

****Kundi linaloonekana kutisha zaidi ni kundi C ambalo lina timu vigogo***

No comments:

Post a Comment