HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 15 December 2014

MAHUSIANO: NDOA YA DAVID BECKAM NA VICTORIA POSH YAWA MFANO WA KUIGWA KWA MASTAA 2014..!



Wachambuzi wa Masuala ya Mahusiano hasa ya kimapenzi wanatumia ndoa ya Nguli wa Soka David Beckam na Mwanamuziki Victoria Posh kama ndoa ya mfano kwa watu maarufu kutokana na mwenendo wao na muda waiodumu katika mahusiano ya Mume na Mke mpaka sasa.

Mastaa hao wawili David Beckham na mke wake Victoria wameoana tangu mwaka 1999, sherehe ya ndoa yao ni moja ya sherehe zilizohudhuliwa na watu wachache zaidi ambapo wageni waalikwa walikuwa 29 tu.
Mpaka sasa mastaa hao wana watoto wanne, mbali ya maisha yao kuwa ya kuhama hama lakini bado ndoa yao ni moja kati ya ndoa za mastaa vijana ambazo zimedumu muda mrefu zaidi na bado zinaonekana imara.

Swali ni Je..!! Mastaa wa kibongo wanaweza haya..??

No comments:

Post a Comment