HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 15 December 2014

BAADA YA KUBAIIKA KUWA MAXIMO KAFUKUZWA HABARI KUBWA NI HANS VAN PLUIJM KURUDI PAMOJA NA MKWASA.



MHOLANZI Hans van der Pluijm amewasili Saa 8:30 usiku wa kuamkia leo kwa ndege ya Shirika la Ethiopia tayari kurudi kazini Yanga SC.
Baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam, Pluijm alisema amefurahi kurudi Yanga SC na hiyo inamaanisha ndoto zake zimetimia.
“Nimefanya mazungumzo na Yanga, natarajia nitasaini Mkataba baadaye (leo), sasa nakwenda kupumzika kwanza,”alisema.
Imefahamika kuwa kocha msaidizi Mkwasa alishasaini tayari mkataba wa kuifundisha Yanga wiki iliyopita!

No comments:

Post a Comment