HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 15 December 2014

DROO YA UEFA. MAN CITY USO KWA USO NA BARCELONA ARSENAL Vs MONACO



Droo ya Raundi ya Mtoano ya UEFA CHAMPIONZ LIGI imefanyika muda mfupi uliopita na zifuatazo ndio Mechi zilizopangwa.

DROO RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16:
Basel v Porto
ArsenalvMonaco
Shakhtar Donetsk v Bayern Munich
Schalke v Real Madrid
Juventus v Borussia Dortmund
Bayer Leverkusen v Atletico Madrid
Manchester City v Barcelona
Paris Saint-Germain v Chelsea

**Mechi za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 zitachezwa kwa mikondo miwili ya Nyumbani na Ugenini hapo Februari 17/18 na 24/25 huku Marudiano yakiwa Machi 10/11 na 17/18.
Washindi wa Makundi wataanza Mechi Ugenini na kurudiana Nyumbani kwao.

No comments:

Post a Comment