HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 5 August 2014

WAAMINI WA DINI YA KIKRISTO WATAKIWA KUSHIKAMANA KUTETEA IMANI NA KUMTEGEMEA MUNGU



Na Masanja Mabula.Pemba
Waumini wa dini ya Kikristo wametakiwa kushikanama  pamoja katika  kuitetea Imani yao na kumtegemea Mungu iku zote za maisha yao .

wito huo umetolewa na Padri Festo Ulasa wa kanisa katoliki Parokia ya Wete wakati wa tafrija fupi ya kuumuaga iliyoandaliwa na waumini wa Jumuiya ya Makangale na Kiuyu kwa Manda iliyofanyika kwenye kigango cha Makangale  juzi Padri Festo amesema kuwa ushirikiano wa waumini pamoja na sala zimekuwa ni msaada katika utekelezaji wa majukumu yake ya kutoa huduma za kiroho Kisiwani Pemba .

Naye Paroko ya Parokia hiyo Beatusi Babu  aliyechukua nafasi ya Festo amewataka waumini hao kumpa ushirikiano ili aweze kutekeleza vyema majukumu ya kuwachunga kondoo wa bwana .

Aidha amesisitiza haja ya kuvichangia vyombo vinavyotumika kuenza injili ikiwemo redio Maria  ili kuwafikia wananchi kwa wakati mmoja .Akitoa shukrani za waumini wa Jumuiya hiyo Katekista wa Kigango cha Makangale John Simba Shija amemkuru padri Festo kwa huduma alizokuwa akitoa na kumtakia safari njema na maisha meme katika kutoa huduma za kitume .

Padri Festo Ulasa ametakiwa kwenda kuendelea na kazi ya kutoa huduma za kitume katika Nchi ya Uganda

No comments:

Post a Comment