HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 7 August 2014

KWAYA YA MTAKATIFU ALOIS GONZAGA YA JIJINI TANGA IMEPATA PIGO KWA KUMPOTEZA MWIMBAJI WAKE


Dada Sophia Enzi za Uhai wake

Mwimbaji wa kwaya Mt.Aloisi Gonzaga( Viwawa Barabara Ya 20) amefariki usiku wa kuamkia tarehe 6 katika hospitali ya Mkoa Bombo.
Mwimbajihuyo alikuwa akiimba sauti ya pili katika kwaya hiyo amekutwa na mahuti baada ya kuugua kwa muda mfupi, alifahamika kwa jina la Sophia John maalufu kwa jina Dada Sophia.
Akiongea na Kipindi cha Gospel Flavour kinachorushwa na Radio Huruma fm mratibu wa vijana jimbo la Tanga Deo Kalyata amesema mzishi yatanyika j,mosi ijayo katika makabuli ya CAC majila ya jioni.
Pia KALYATA amesema vijana waige mfano kwa Dada Sophia kwani alijitoa kikamilifu katika maisha yake yote kumtumikia mungu bila ya kujibakiza.


No comments:

Post a Comment