HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 13 August 2014

HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA YAAHIDI NEEMA KWA VIJANA...!



Halmashauri ya jiji la tanga imehaidi kuwapatia vijana asilimia tano ya fedha kutoka  vyanzo vyake vya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2014/2015 ili kutunisha mfuko wao wa sacoss.

Hayo yamesemwa na kaimu mkurugenzi wa jiji  la tanga denisi misana  wakati akiongea na vijana kwenye kilele cha maadhimisho wa siku ya vijana duniani  yaliyo fanyika kiwilaya katika viwanja vya tangamano.

Hata hivyo katibu tawala wilaya ya tanga bernad patric  amewakumbusha vijana wa jiji la tanga watumie fursa ya elimu waliyonayo kukabiliana na changamoto mbalimbali za kimaisha zikiwemo ukosefu wa ajira na uvutaji wa madawa ya kulevya.

Maadhimisho hayo ambayo yamefikia kilele chake 12agost yaliambatana na midahalo na burudani mbali mbali ambazo zilibeba kauli mbiu ikisema vijana na afya ya kili.

No comments:

Post a Comment