HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 13 August 2014

GHANA YAINYIMA SIERRA LEONE UWANJA KWA HOFU YA EBOLA.






SHIRIKISHO la Soka la Ghana-GFA limetoa taarifa ya kuinyima ruhusa Sierra Leone ya kutumia moja ya viwanja vyake kwa ajili ya mechi yao ya kufuzu michuano ya Mataifa ya Afrika. Sierra Leone ilikuwa imeomba ruhusa kucheza baadhi ya mechi zake za kufuzu michuano hiyo nchini Ghana kutokana na mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa Ebola nyumbani kwao




Katika taarifa ya Shirikisho la Soka barani Afrika-CAF iliyotolewa jana imedai kuwa Sierra Leone walielekeza mechi zao za nyumbani katika mzunguko wa mwisho wa kufuzu zichezewe Ghana. Baada ya CAF kutuma maombi hayo ya Sierra Leone kwenda kwenye mamlaka husika Ghana, GFA walijibu kwa kuwataka majirani zao hao kushughulikia suala hilo kiserikali. 
GFA limelitaka Shirikisho la Soka la nchini hiyo kutuma maombi yao serikalini kwani suala hilo linahusisha mambo ya afya hivyo wao watakuwa hawana kauli kwenye hilo.

No comments:

Post a Comment