HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 11 August 2014

AJALI YAUA MWANAFUNZI HANDENI




Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh Mhingo Rweyemamu(Picha na Maktaba)

Na Paul James.Tanga
Mwanafunzi wa shule ya msingi ya msisi wilaya ya handeni mkoa wa Tanga amefariki dunia mara baada ya kugongwa na gari aina ya BUZ TOYOTA yenye namba za usajili T408 iliyo kuwa ikiendeshwa na Salimu Shuaibu mwenye umri wa miaka38 mkazi wa DSM.

Mwanafunzi   huyo amegongwa agost10 majira ya 11 za jioni ambapo gari hilo lilikuwa likitokea dsm kuelekea mkalamo na ndipo lilipo fika katika eneo la kwa msisi lili mjeruhi vibaya mtoto huyo na kusababisha kifo chake.

Kwamujibu wa kaimu kamanda wapolisi juma ndaki  amesema katika ajali hiyo mwanafunzi hussen aligongwa katika miguu yake na ndipo walimkamata dereva aliye husika kugonga.

Hatahivyo chanzo cha ajali hiyo akija tambulika hivyo wanaendelea na uchunguzi na mwili wa marehemu umekabiziwa kwa ndugu kwa ajili ya taratibu za mazishi.

No comments:

Post a Comment