HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 15 May 2014

WAKAZI WA PONGWE WAOMBWA KUWA NA SUBIRA,KERO YA KARAVATI KUZIBWA S0KO LA ZAMANI




 
injinia ALFRED NDUMBARO

PICHA ZA ENEO HILO LINALO JAA MAJI WAKATI WA MVUA


Hii ni Hatari sana

Wakazi wa mji wa Pongwe jijini Tanga wamombwa kuwa na subira na uvumulivu kutokana na  changamoto inayo wakabili ambayo ni kujaa kwa maji kipndi cha mvua  kubwa kandokando ya barabara kuu ya kutoka tanga mjini kwenda Segera hasa katika eneo la Soko la Zamani ambapo karavati lililokuwa likitumika kupitisha maji limezibwa na mkandarasi aliyekuwa akikarabati barabara hiyo.

Hayo yamesemwa na mkurugenzi wa kutengeneza na kuhifadhi barabara  tanrodi Mkoani tanga injinia ALFRED NDUMBARO akizungumza na waandishi wa habari kutoka radio huruma amesema kuwa swala hilo wanalifanyia kazi na mara baada ya mwaka wa fedha unao aanza mwezi wa saba  ili kutoa kero hiyo inayo wasumbua wakazi wa Pongwe.

Hata hivyo injinia NDUMBARO  ametoa ushauri na kusema kuwa halmashauri inapaswa kutengeneza mitaro ili kuboresha miundo mbinu ya barabara za mitaa ili kuondokana na tatizo la kujaa kwa maji mitaani.

No comments:

Post a Comment