HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 12 March 2014

BRAKING NEWSSSSS..!!! SAMWEL SITTA SASA NDIE MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Mh Samwel Sitta

Aliyekuwa Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Bunge Maaalum la Katiba Mh Samwel Sitta ameshinda nafasi hiyo kwa kura  469 dhidi ya mpinzani wake Hashim Rungwe Sponda katika Uchaguzi uliofanyika muda mfupi uliopita huko Mjini Dodoma. 

Akitumia kaulimbiu yake isemayo" kazi kwa Viwango na Kasi" Sitta aliweza kuwavutia Wajumbe wengi ambapo awali kabla ya kupatiwa nafasi ya kujieleza mbele ya Wajumbe alikuwa amekwisha sambaza nyaraka zinazoonesha wasifu na sera zake kwa wajumbe hao tofauti na Mh Rungwe ambaye alijikuta akikosa muda wa kutosha kujinadi baabada ya dakika 3 alizopewa kuisha  kabla hajamaliza kutoa maelezo yake.

No comments:

Post a Comment