HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Sunday, 16 February 2014

FA CUP: ARSENAL YAIBWAGA LIVERPOOL, KUCHEZA NA EVERTON ROBO FAINALI!!



>> NI WAKATI WA VISASI BAADA YA CHELSEA KUPIGWA NA MAN CITY LEO ILIKUWA ZAMU YA LIVERPOOL
>>MABINGWA WATETEZI WIGAN KUWAVAA CITY ROBO FAINALI!!

FA CUP
Raundi ya Tano
MATOKEO:
Jumapili Februari 16
Everton 3 Swansea 1
Sheffield United 3 Nottingham Forest 1
Arsenal 2 Liverpool 1
+++++++++++++++++++++++++++++

ARSENAL 2 LIVERPOOL 1
Alex Oxlade-Chamberlain Leo alifunga Bao moja na kumtengenezea Lukas Podolski kufunga Bao la Pili wakati Arsenal walipoichapa Liverpool Bao 2-1 Uwanjani Emirates na kuwabwaga nje ya FA CUP na hivyo kulipa kisasi cha kutwangwa Bao 5-1 kwenye Mechi ya Ligi waliyocheza Anfield Wiki iliyopita.
Bao la Kwanza la Arsenal lilifungwa Dakika ya 16 na Oxlade-Chamberlain na Podolski kupiga Bao la Pili kwenye Dakika ya 47.
+++++++++++++++++++++++++++++
DROO YA ROBO FAINALI:
Mechi kuchezwa Wikiendi ya Jumamosi Machi 8 
Manchester City v Wigan
Sheffield United v Sheffield Wednesday/Charlton
Brighton/Hull v Sunderland
Arsenal v Everton
+++++++++++++++++++++++++++++
Steven Gerrard ndie aliewafungia Liverpool Bao lao pekee kwa Penati ya Dakika ya 59 iliyotolewa na Refa Howard Webb baada ya Lukas Podolski kumuangusha Luis Suarez ndani ya Boksi.
Arsenal sasa wametinga Robo Fainali na watacheza na Everton Uwanjani Emirates kwenye Wikiendi inayoanza Machi 8.
VIKOSI:
Arsenal: Fabianski; Jenkinson, Mertesacker, Koscileny, Monreal; Arteta, Flamini; Chamberlain, Ozil, Podolski; Sanogo
Akiba: Viviano, Sagna, Gibbs, Wilshere, Cazorla, Gnabry, Giroud.
Liverpool: Jones, Flanagan, Skrtel, Agger, Cissokho, Gerrard, Allen, Coutinho, Suarez, Sterling, Sturridge.
Akiba: Mignolet, Toure, Moses, Henderson, Kelly, Aspas, Teixeira.
Refa: Howard Webb.
FA CUP
Raundi ya Tano
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumatatu Februari 17
2245 Brighton v Hull
+++++++++++++++++++++++
THE FA CUP WITH BUDWEISER
MSIMU 2013-14
TAREHE ZA RAUNDI:
-RAUNDI YA 6: Jumamosi Machi 8
-NUSU FAINALI: Jumamosi Aprili 12 & Jumapili Aprili 13
-FAINALI: Jumamosi Mei 17
+++++++++++++++++++++++++++++

No comments:

Post a Comment