HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 13 November 2013

TATIZO LILILOPELEKEA DIMBA LA CCM MKWAKWANI KUFUNGIWA NA BODI YA LIGI LAONEKANA KATIKA MICHUANO YA "MASSAWE CUP" JIJINI TANGA

Timu ya Polisi Jamii Wakati wa Mapumziko wakiwa pembeni ya Uwanja huo

Michuano ya Massawe Cup inaendelea kutimua Vumbi katika Dimba la CCM Mkwakwani jijini Tanga na sasa imefikia hatua ya fainali ambayo itazikutanisha  timu za Kiomoni Fc dhini ya Vijana Star mchezo utakao pigwa katika Uwanja huohuo wa Mkwakwani mnamo Nov 16.
Katika hatua ya nusu fainali timu ya Vijana Star iliitoa timu ya Vijana Kombezi kwa kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 yakifungwa na Shabani Adamu, Ramadhani Wambura .na Mbwana Hassani.
Kiomoni Fc wameitoa timu ya Polisi Jamii kwa mikwaju ya Penati 5-4 kufuatia suluhu ya bao 101 katika dakika 90.
Hata hivyo timu hizo zimejikuta katika wakati mgumu kwa kukosa sehemu nzuri ya kubadilishia nguo na kupikea mawaidha ya Walimu wao  na kujikuta wakitumia maeneo ya Wazi ambayo hata hivyo yana Usumbufu kutoka kwa mashabiki.


Wachezaji wea Kiomoni Fc wakiwa nje ya Uwanja wa Mkwakwani pamoja na kocha wao wakati wa Mapumziko

No comments:

Post a Comment