HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 18 November 2013

SASA NI ZAMU YA MAREKANI KIMBUNGA CHASABABISHA MAAFA MAKUBWA





Kimbunga nchini Marekani chasababisha uharibifu mkubwa
Kimbunga kikali kimeyakumba maeneo kadha ya Marekani, kikiharibu majengo na magari katika majimbo ya Illinois, Indiana na Kentucky.

Watu wapatao watano wameuawa katika kimbunga hicho na inahofiwa kuwa mamia ya watu huenda wamejeruhiwa katika kimbunga hicho kikali.
Idadi kubwa ya watu wanasemekana kunasa katika majengo.
Wataalam wa hali ya hewa wanasema kimbunga hicho kitaathiri watu milioni 53 katika maeneo hayo(Chanzo BBC swahili)

No comments:

Post a Comment