HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Saturday, 9 November 2013

KITUO CHA ELIMU "CONFORT EDUCATION CENTRE CHATEMBELEA MAKUMBUSHO TANGA



 

Wanafunzi wa madarasa ya Pre-Form One na Masomo ya ziada kutoka kituo vha Elimu cha CONFORT EDUCATION CENTRE kilichoko Majani Mapana jijini Tanga wamefanya ziara mafunzo katika jumba la Makumbusho jijini hapa ambapo pamoja na mambo mengine walipata fursa ya kujionea zana mbalimbali za kale zilizo hifadhiwa katika Jumba hilo la Urithiwa Mambo lake.

Wanafunzi hao walingozwa na  Mwl David Manyilizu ambaye ametoa wito kwa wazaza na walezi kujenga tabnia ya kuwatembeza watoto katika maeneo na vituo mbalimba vya mabo kale ili wajifunze nchi yetu ilikotoka na tamaduni za Wabantu(Babu Zetu)



Mwl Manyilizu akiwaanda Wanafunzi kuingia kwenye Jumba la Makumbusho
Baadhi ya Wanafunzi
Wakipata maelezo kuhusu mambo kale kutoka kwa Muongozaji Bi Khadija Mustafa (Kushoto)
Mwl akimsaidia Mwanafunzi kuona zana za kale

Muongoza wageni wa Jumba hilo Bi Khadija Mustafa
Picha ya pamoja baada ya kumaliza ziara
Mwl David Manyilizu akizungumza na Mtandao huu daaba ya Kumaliza ziara hiyo

No comments:

Post a Comment