HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 24 May 2017

JESHI LA POLISI MKOANI TANGA LAKAMATA SILAHA TANO IKIWAMO GOBOLE.




JESHI la Polisi Mkoani Tanga limedai kukamata sila tano ikiwemo gobore moja wakati wa Operesheni maalumu ya kuwasaka wahalifu katika Wilaya ya Kilindi na Handeni.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda Wa Polisi Mkoani Tanga Benedict Wakulyamba (Pichani Juu) amesema kuwa masako huo ulifanywa kwa siku sita kwa ushirikiano na wananchi.

Amesema wakati wa operesheni hiyo inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kutengeneza silaha za kienyeji pamoja na mitambo ya utengenezaji wa pombe haramu ya Gongo.


Kamanda Wakulyamba amewataka wananchi kutoa taarifa za kihalifu katika maeneo yao ikiwa na pamoja na kuwafichua watengenezaji wa Gongo.



No comments:

Post a Comment