HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 20 September 2016

KATIBU MKUU WA COASTAL UNION ATANGAZA KUJIUZULU RASMI.


Kaimu katibu Mkuu wa timu ya Coastal Union ya Tanga Salimu Bawaziri kushoto akiwa na msemaji wa klabu hiyo Oscar Asenga

Kaimu katibu Mkuu wa timu ya Coastal Union ya Tanga Salimu Bawaziri jana ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo ni baada ya kuona muda wa kufanya hivyo umefika.
Bawaziri amesema hayo jana baada ya kumalizika kwa uchanguzi wa viongozi wa chama cha waanuzi Mkoa wa Tanga (FRATI) katika uwanja wa Mkwakwani.
Aidha Bawaziri amesema atakuwa akitoa ushauri wa  maendeleo ndani ya timu pindi atapokuwa unakitajika .

No comments:

Post a Comment