Wafanyabiashara kwa
kushirikiana na Wakulima Wamekumbushwa kutumia Vipimo na ujazo sahihi ambavyo
vimepitishwa na Wakala Wa vipimo ili kuepusha wizi unaofanywa kwa wateja
kupitia vipimo holela.
Wito
huo umetolewa na Meneja Wakala Wa Vipimo Mkoa Wa Tanga Lucas Mosha
ofisini kwake wakati akifanya mahojiano namwandishi wetu amesema Taasisi ya Uma
nyenye dhumuni la kumlinda Mkulima na Mlaji ambae anafanya biashara kwakumpatia
elimu juu ya kutumia vipimo ambavyo ni kipimo sahihi kulingana na kanuni
.
Pia
Meneja Mosha amesema Taassisi imekuwa ikitoa elimu juu ya matumizi sahihi ya
Vipimo bora kwa Wakulima juu ya ufungashaji kwakutumia Viongozi Wa
serikali za vijiji ili kuweza kuisaidia mkulima kupata maendeleo kutokana na
bidhaa anayo uza kwa kupata maendeleo pamoja na serikali kukusanya ushuru kwa
maendeleo ya Taifa.
Aidha
Mosha amewataka wafanyabiashara kuwacha tabia ya kufanyabiashara halamu
ya kujaza zaidi ya Vipimo atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo kulipa faini.
No comments:
Post a Comment