Baadhi ya Madereva wa daladala pamoja na Wananchi wa jiji la Tanga wameilalamikia halmashauri ya jiji hilo kwa kushindwa kukarabati miundombinu ya barabara kwa kipindi kirefu hivyo kuwachanzo cha ajali.

Kwaupande wake Mhandisi wa jiji la Tanga Afeilile Lamsy amesema kuwa barabara nyingi zilizo kuwa na mashimo ni kutoka na mvua za masika zilizo kuwa sinanyesha maeneo mengi nchini hivyo kama halmashauri inampango wa kuzifanyia marekebisho barabara hizo.
Aidha Mhandisi wa jiji amewataka wanainchi kuwa wavumilivu na kuendelea kutunza miundo mbinu kwa kufuata kanunu na sheria wakati serikali ikiendelea kukalabati barabara ambazo zimekuwa korofi kwa watumiaji .
No comments:
Post a Comment