HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 7 April 2015

BONDIA ALAN KAMOTE WA TANGA KUPANDA ULINGONI MEI 02 MWAKA HUU JIJINI TANGA.



 

Bondia Alen Kamote wa Tanga atapanda ulingoni mei 2 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga kukabiliana na Emilio Norfat katika mpambano wa raundi 12 mbali na mpambano  siku hiyo pia kutakuwa na mapambano mengine makali moja ya mpambano wenye mvuto zaidi ni kati ya bondia mwenye makazi yake mkoa wa Morogoro Cosmas Cheka atakaekabiliana na Said Mundi kutoka mkoa wa Tanga.

Promota wa mpambano uho Ally Mwazoa aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha  Jacob Maganga na Fadhili Kea wakati Juma Mustafa akipamana na Ally Magoma, Saimon Zabroni akioneshana umwamba na Hamisi Mwakinyo na Jumanne Mohamed na Bakari Shendekwa na Zuber Kitandura na Rajabu Mahoja.

Mpambano huo unafanyika jijini Tanga baada ya kutopata burudani ya mchezo wa masumbwi kwa  muda mrefu kidogo hivyo mpambano uho utafuraiwa na wakati wa Tanga na vitongoji vyake

No comments:

Post a Comment