HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 4 December 2014

WATANZANIA WATAKIWA KUMTEGEMEA MUNGU.!!



WITO umetolewa kwa watanzania kumtegemea sana mungu iliwapate baraka na amani kuliko kukumbatia mali na anasa za dunia hii  ambazo azitatufikisha kwenye uzima wa milele.
Rai hiyo imetolewa na mchungaji Justine Kaholo wa kanisa la dipa life lililopo eneo la Chuda katika jiji la tanga alipoongea na akizungumza na mwandishi wetu ofisini kwake.

Amesema watu wanakosa kudhamini na kuwajari wenzao kwa sababu ya mali na pesa ambazo zinapita kwamuda tu ila kuonesha matendo mema na uwanaupendo kwa majirani na marafiki itakuwa ni baraka kwa mungu na utakuwa unatekeleza maagizo kwa mungu ya dugu kuishi kwa upendo, furaha na amani daima.

Katika hatua nyingine mchungaji Kaholo amewataka watanzania kuishi kwa upendo ilikuepusha migongano na machafuko ya kila aina dani ya jamii kwa kumtegemea mungu kwa kila jambo wanalo taka kufanya sikuzote.

Naye mwalimu Aneth Chandeu na Mery Msuya wote wakazi wa Tanga mjini wamewataka wanajamii kuwa na hofu ya mungu iliwaweze kuishi maisha safi na yenye furaha endapo vijana, wazazi na walezi wote wakionyesha mfano kwa watoto iliwaweze kuifuata njia ya  kumfuata mungu aliye chanzo na kimbilio la mwanadam.

No comments:

Post a Comment