HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.
KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA
....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....
Pages
Thursday, 13 November 2014
KAMPUNI YA PAP YASEMA HAINA UHUSIANO WA UMILIKI NA FAMILIA YA RAIS KIKWETE.
KAMPUNI ya Pan Africa Power Resources (PAP) imesema haina mahusiano ya kiumiliki na familia ya Rais Jakaya Kikwete, kama umma unavyoaminishwa kwa kuwekewa taarifa sizizo za kweli kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
Akizungumzia jambo hilo, Makandege alisema PAP inamilikiwa kwa asilimia 50 na Harbidher Sing Seth na Simba Trust, ambayo nayo inamiliki asilimia 50.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment