HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 20 November 2014

HAWA NDIO WANAMICHEZO WANAOLIPWA ZAIDI DUNIANI KWA SASA



Mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney anaingiza pauni milioni 15 kwa mwaka ikiwa ndiyo kipato chake.
Katika hizo, pauni milioni 11.8 zinazokana na mshahara, lakini bado hajaweza kufanikiwa kuingia kwenye 10 Bora ya wanaolipwa vizuri.
Bondia Floyd Mayweather ndiye kinara na wanasoka  pekee wanaoingia kwenye 10 Bora ya kipato kikubwa kwa mwaka ni Cristiano Ronaldo na Lionel Messi tu.

WANAMICHEZO WANAOLIPWA ZAIDI - 2014
1) Floyd Mayweather (Ngumi) - £67m 
2) Cristiano Ronaldo (Soka) - £51.1m
3) LeBron James (Kikapu) - £46.2m
4) Lionel Messi (Soka) - £41.3m 
5) Kobe Bryant (Kikapu) - £39.3m
6) Tiger Woods (Gofu) - £39.1m
7) Roger Federer (Tenisi) - £35.9m
8) Phil Mickelson (Gofu) - £34m
9) Rafael Nadal (Tenisi) - £28.4m
10) Matt Ryan (NFL) - £28m 

No comments:

Post a Comment