HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 30 July 2014

UMEIPATA HII..? WATOTO 24 WAZALIWA HOSPITALI YA BOMBO TANGA NDANI YA SAA 24 KUAMKIA EID EL FITRI.





Na Rebeka Duwe
Jumla ya watoto wapatao 24 wamezaliwa  ndani ya  masaa 24 yaliyopita kumkia asubuhi ya sikuu ya idd el fitry katika hospiatali ya mkoa wa Bombo mkoani hapa.
Akizungumza na Mtandao huu ofisini kwake hapo jana muuguzi wa zamu katika hospitali hiyo Dkt Joycy Nkya amesma watoto hao 24 waliozaliwa kuamkia sikukuu kati yao wakiume ni 9 na wakike wakiwa ni 14.
Nkya amesema kuwa kati ya watoto hao 24 waliozaliwa kwa operesheni(upasuaji) na wengine wamezaliwa kwa njia ya kawaida jambo la kumshukuru mwenyenzi mungu hakuna kifo kilichotokea kwa wamama waliojifungua na wala kwa watoto wenyewe.

No comments:

Post a Comment