HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Wednesday, 28 May 2014

HALMASHAURI YA JIJI YAWAALIKA WANATANGA KUTEMBELEA MAONESHO YA KIBIASHARA YANAYO ENDELEA JIJINI


Watembeleaji wa maonesho hayo wakipata maelezo katika moja ya mabanda ya Biashara yaliyoko katika maoneshi hayo


Halmashauri ya jiji la Tanga imetoa wito  kwa  wakazi  wake kupitia maonesho ya biashara ya kimataifa yanayoendelea  kwenye viwanja vya Tangamano mkoani hapa kuwa wananchi wapate kutembelea banda lao ili waweze kupata taarifa sahihi kuhusu mji wa Pongwe pamoja na mambo ya usafi wa Mazingira.

Hayo yamesemwa na mwoenyeshaji wa maonesho haya kwa niaba ya halmashauri Juma Mkombozi wakati akizungumza na mtandao huu  viwanjani hapo kuhusu utoaji wa huduma yao kwenye maonyesho hayo ya kimataifa .

Aidha amesema kuwa lengo la wao kushiriki kwenye maonesho ni kueleza kazi   zao   na shughuli zote za halamashauri kwa wananchi ili wapate ufafanuzi    juu ya mambo ambayo hawayafahamu .
Akielezea shughuli za halmshauri amesema kuwa ni pamoja na  fursa  na maeneo ya uwekezeji yliyopo ktika jiji la Tanga  na kutolea ufafanuzi   wa  shughuli  za wadau wa maendeleo ya jiji.

Sanjari na hayo amesema wakazi wa jiji la hawana budi kutambua kuwa halmshauri  inendelea kufanya jitihada zake kufanikisha kuwa Tanga Televisheni  itaanza  kutumika baada ya muda mfupi  hivyo  wananchi wameombwa kuwa na subira.

No comments:

Post a Comment