HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 25 March 2014

WAKAZI WA JIJI LA TANGA WAHIMIZWA KUJISOMEA VITABU KATIKA MAKTABA YA JIJI HILO


LANGO LA MAKTABA YA JIJINI TANGA


JENGO LA MAKTABA JIJINI TANGA

Wakazi wa mkoa wa TANGA wanashauriwa kusoma vitabu, majarida  na kumbukumbu za kihistoria  vinavyo patikana katika maktaba  kuu iliopo mkoani  hapa.

Amebainisha  hayo mkutubi mkuu MARTINE CHAMBO wakati akizungumza na mwandishi wa kituo hiki amsema kuwa kila mkazi anaruhusiwa kujisomea katika mataba hiyo kwani ipo kwaajili ya kila mmoja wetu lengo la maktaba hiyo ni kufanya jamii wakiwemo watoto vijana na watu wazima  kuwa na moyo wa kujisomea.

Hata hivyo CHAMBO  amsema wanatumia mbinu mbalimbali  za kuhamasisha watu kusoma kwa kutumia  elimu kwa njia ya michezo na burudani  ilikuwavuta watu kwenye maktaba hiyo.

Pia akusita kutoa wito  kwa jamii kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya miaka hamsini  tangu kuanzishwa kwa maktaba hiyo yakatakayo fanyika tarehe 25/03 hadi tarehe 1/04 ambayo yataambatana na maonyesho na burudani katika maktaba hiyo.

No comments:

Post a Comment