HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Saturday, 22 March 2014

MWANAHABARI GODWIN HENRY LYAKURWA AUNGANA NA AMRI KEMBA KUOMBOLEZA MSIBA WA BABA MZAZI WA MCHEZAJI HUYO WA SIMBA SPORT CLUB



KIEMBA AKIWA DIMBANI



Kiungo mkongwe wa Simba, Amri Kiemba, yupo katika wakati mgumu kutokana na kumpoteza baba yake mzazi mzee Athuman Kiemba, jana Ijumaa.

Kiemba amesema kuwa baba yake ambaye alikuwa Sumbawanga, Rukwa amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Kiemba aambaye alikuwa akizungumza huku akionyesha kuwa na majonzi mwakubwa, alisema kuwa marehemu baba yake mbali ya kuwa ni mzazi wake lakini alikuwa ni rafiki yake mkubwa na alikuwa akimtegemea katika masuala mbalimbali binafsi na ya kikazi yaliyomhusu.

KIUNGO WA SIMBA AMRI KIEMBA AKIWA NA MWANAHABARI GODWIN HENRY

>>MTANDAO HUU WA GODWIN LYAKURWA BLOG UNAMPA POLE KIEMBA PAMOJA NA FAMILIA YAKE KUTOKANA NA MSIBA HUO MZITO.
MWENYEZI MUNGU AMPUNGUZIE MAHALA PEMA MAREHEMU MZEE ATHUMAN KIEMBA..! AMINA.

No comments:

Post a Comment