![]() |
|
Mabaki ya
chuo cha serikali ambapo wanafunzi 60 walichomwa moto hadi kufa Februari 25,
2014
|
Mashahidi na maafisa wa ndani kaskazini
mashariki mwa Nigeria wanasema kundi linalotuhumiwa la wanamgambo wa Boko Haram
limeuwa watu 33 na kushambulia kwa bomu chuo cha kidini katika jimbo la Adamawa.
Jeshi ambalo mara nyingi haliamini taarifa za idadi ya vifo kutoka kwa mashahidi limesema washambuliaji sita waliuwawa katika tukio hilo pamoja na mwanajeshi mmoja na raia watatu .
Shambulizi hilo la Alhamis karibu na mpaka wa Cameroon lilifanyika siku moja baada ya mashahidi kuripoti kuwa karibu wanafunzi 60 waliuwawa katika chuo cha serikali karibu na jimbo hilo la Adamawa.
Jeshi ambalo mara nyingi haliamini taarifa za idadi ya vifo kutoka kwa mashahidi limesema washambuliaji sita waliuwawa katika tukio hilo pamoja na mwanajeshi mmoja na raia watatu .
Shambulizi hilo la Alhamis karibu na mpaka wa Cameroon lilifanyika siku moja baada ya mashahidi kuripoti kuwa karibu wanafunzi 60 waliuwawa katika chuo cha serikali karibu na jimbo hilo la Adamawa.
![]() |
| Wanamgambo wa Bokoharam |


No comments:
Post a Comment