![]() |
| COASTAL UNION "WAGOSI WA KAYA" |
RATIBA/MATOKEO:
Jumamosi
Februari 15
Rhino Rangers 1 Mgambo
JKT 1
Ashanti United 0
Kagera Sugar 0
Mtibwa Sugar 0
Tanzania Prisons 1
JKT Oljoro 0 JKT Ruvu
0
Mbeya City 1 Simba 1
Ruvu Shooting 1
Coastal Union 0
+++++++++++++++++++++++
| MBEYA CITY |
UWANJA
wa Sokoine huko Jijini Mbeya, Jana ulikuwa patashika wakati Mbeya City na Simba
zilipokutana nakutoka Sare ya Bao 1-1 ambayo imeibakisha kila Timu nafasi yake
ile ile kwenye Msimamo wa VPL, Ligi Kuu Vodacom.
Mbeya
City walitangulia kupata Bao katika Dakika ya 14 kwa Penati ya Deogratius
Julius na Amisi Tambwe kuisawazishia Simba katika Dakika ya 50.
Simba
na Mbeya City sasa zimecheza Mechi mbili zaidi ya Vinara Azam FC, wenye Pointi
36, na Timu ya Pili Yanga, wenye Pointi 35, lakini wamebaki nyuma yao kwa Mbeya
City kubaki Nafasi ya Tatu wakiwa Pointi sawa na Yanga lakini wana ubora wa
Magoli hafifu huku Simba ikishika Nafasi ya 4 wakiwa Pointi 3 nyuma ya Mbeya
City.
MSIMAMO:
|
NA
|
TIMU
|
P
|
W
|
D
|
L
|
GD
|
PTS
|
|
1
|
Azam
FC
|
16
|
10
|
6
|
0
|
19
|
36
|
|
2
|
Yanga
SC
|
16
|
10
|
5
|
1
|
22
|
35
|
|
3
|
Mbeya
City
|
18
|
9
|
8
|
1
|
10
|
35
|
|
4
|
Simba
SC
|
18
|
8
|
8
|
2
|
17
|
32
|
|
5
|
Ruvu
Shooting
|
17
|
6
|
7
|
4
|
3
|
25
|
|
6
|
Kagera
Sugar
|
18
|
5
|
8
|
5
|
0
|
23
|
|
7
|
Coastal
Union
|
18
|
4
|
10
|
4
|
3
|
22
|
|
8
|
Mtibwa
Sugar
|
18
|
5
|
7
|
6
|
-1
|
22
|
|
9
|
JKT
Ruvu
|
17
|
6
|
1
|
10
|
-8
|
19
|
|
10
|
Ashanti
United
|
17
|
3
|
5
|
9
|
-14
|
14
|
|
11
|
JKT
Oljoro
|
18
|
2
|
8
|
8
|
-14
|
14
|
|
11
|
Mgambo
|
18
|
3
|
5
|
10
|
-18
|
14
|
|
14
|
Prisons
FC
|
15
|
2
|
7
|
6
|
-9
|
13
|
|
12
|
Rhino
Rangers
|
18
|
3
|
6
|
9
|
-10
|
13
|
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumatano
Februari 19
Tanzania Prisons v JKT
Ruvu
Jumamosi
Februari 22
Ruvu Shooting v Yanga
Kagera Sugar v Rhino
Rangers
Mtibwa Sugar v Ashanti
United
Coastal Union v Mbeya
City
JKT Oljoro v Mgambo
JKT
Azam FC v Tanzania
Prisons
Jumapili Februari 23
Simba v JKT Ruvu

No comments:
Post a Comment