Na Keneth JOhn wa
matukiodaima.com ,Dar
Biashara ya
pombe haramu aina
ya gongo imeendelea
kushamili jijini Dar
es salaam baada
ya jeshi la
polisi kanda maalum
ya dar es
salaam kukamata lita
58 za pombe
hiyo kwa nyakati
tofauti.
Taarifa
kutoka jeshi la
polisi kanda maalumu
ya Dar es
salaam zinasema kuwa jan
18 majira ya
saa 5 kamili
asubuhi maeneo ya
Bunju “A” mbweni
kata ya mbweni
mbezi beach, askari
walifanya msako maeneo
hayo na kufanikiwa
kuwakamata watuhumiwa 6
ambao ni Pili
Rajabu (50) Hamisi Kilie (41) Hamuisi
Kasimu(45) na wenzao wengine
watatu wakiwa na
pombe haramu ya
gongo lita 40
pamoja na bhangi
kete 122 .
Pamoja
na hayo jan
18 hiyo hiyo
askari pia walipitisha
msako mkali maeneo
ya Kibamba kata
ya kibamba kimara
stop over, na
kufanikiwa pia kuwakamata
watuhumiwa 23 ambao
ni Maneno Adamu
(20) Rajabu Omary
(25) na Mwajuma
Juma (25) pamoja
na wenzao 20
wakiwa na pombe
haramu aina ya
gongo lita 18
pamoja na bhangi
puli 12 , kete
25 na misokoto
70.
No comments:
Post a Comment