HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Monday, 2 December 2013

VIJANA WA COASTAL UNION WAPOKEWA KWA SHANGWE YA AINA YAKE BAADA YA KUTWAA KOMBE YA UHAI


Msafara wa Mapokezi  Ukiingia Katika Dimba la CCM Mkwakwani kwa Magari na Pikipiki

M/Kiti wa Klabu hiyo Hemed Aurora akipokea Kombe la Uhaikutoka kwa Nahodha wa Klabu hiyo Nzara Ndaro

Mkuu wa mkoa wa Tanga,Luteni mstaafu Chiku  Gallawa kushoto akipokea kombe la Uhai Cup toka kwa nahodha wa timu ya Coastal Union Nzara ndaro mara baada ya kuwasili Mkoani hapa

Mkuu wa mkoa wa Tanga,Luteni mstaafu Chiku gallawa akiwapungia mikono mashabiki wa soka Mkoani Tanga waliofurika kuwapokea mabingwa wa kombe la uhai 2013 coastal union ya Tanga.


No comments:

Post a Comment