HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Friday, 15 November 2013

YANGA YAMNASA KIUNGO HASSAN DILUNGA!





>>NI MCHEZAJI WA PILI KUMSAINI DIRISHA DOGO LA USAJILI!
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, wamethibitisha kumsaini Kiungo kutoka Ruvu Shooting, Hassan Saleh Dilunga, kwa Mkataba wa Miaka mitatu.
Dilunga ni Mchezaji wa pili kusainiwa na Yanga katika Dirisha la Usajili lililofunguliwa rasmi leo Novemba 15 na litadumu hadi Desemba 15 na Mchezaji mwingine ni Kipa Juma Kaseja ambae alikuwa Mchezaji huru baada ya kumaliza Mkataba wake na Simba.

 
Hassan Dilunga
Akithibitisha Usajili huu wa Dilunga, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kleb, amesema usajili huu ni kutekeleza maagizo ya Kocha Mkuu Ernie Brandts, ambae sasa yuko Likizo fupi huko kwao, aliyoyaacha kabla kwenda Mapumziko.
Bin Kleb amesema: "Kocha aliacha mapendekezo ya usajili tuyafanyie kazi la kwanza lilikuwa ni kuhakikisha tunampata Juma Kaseja kwa ajili ya kuongeza nguvu katika nafasi ya Makipa ambalo tulilikamilisha mwishoni mwa Wiki na sasa tumelimaliza la Kiungo Hassan Dilunga"
Hadi sasa Yanga ndio Vinara wa Ligi Kuu Vodacom baada ya kukamilika Raundi ya Kwanza na Raundi ya Pili itaanza hapo Januari 25.
LIGI KUU VODACOM
MSIMAMO:
NO
TEAMS
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
Young Africans
13
8
4
1
31
11
20
28
2
Azam FC
13
7
6
0
23
10
13
27
3
Mbeya City
13
7
6
0
20
11
9
27
4
Simba SC
13
6
6
1
26
13
13
24
5
Kagera Sugar
13
5
5
3
15
10
3
20
6
Mtibwa Sugar
13
5
5
3
19
17
2
20
7
Ruvu Shootings
13
4
5
4
15
15
0
17
8
Coastal Union
13
3
7
3
10
7
3
16
9
JKT Ruvu
13
5
0
8
10
16
-6
15
10
Rhino Rangers
12
2
4
6
9
16
-7
10
11
JKT Oljoro
13
2
4
7
9
19
-10
10
12
Ashanti United
13
2
4
7
12
24
-12
10
13
Tanzania Prisons
12
1
5
6
6
16
-10
8
14
Mgambo JKT
13
1
3
9
3
23
-20
6

RATIBA
RAUNDI YA PILI
25 Januari 2014
Ashanti United v Yanga
Azam FC v Mtibwa Sugar
Coastal Union v JKT Oljoro
Kagera Sugar v Mbeya City
Tanzania Prisons v Ruvu Shootings
JKT Ruvu v Mgambo JKT
Simba v Rhino Rangers

No comments:

Post a Comment