HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Friday, 22 November 2013

SASA MAYWEATHER KUZIPIGA NA PACQUIAO MWAKANI




MABONDIA Floyd Mayweather Jnr na Manny Pacquiao hatimaye wanaweza kuzipiga mwakani katika pambano kubwa zaidi la ndondi kuwahi kutokea.
Mkuu wa Top Rank, Bob Arum, ambaye anampromoti nyota wa Ufilipino, amesema atahakikisha pambano hilo linalosubiriwa kwa muda mrefu linafanyika na ataanza mchakato huo baada ya pambano dhidi ya Brandon Rios huko Macau mwishoni mwa wiki hii.
Manny Pacquiao na
Brandon Rios

Gharama za pambano hilo zinatarajiwa kuwa dola za KImarekani Milioni 300.
Manny Pacquiao na Floyd Mayweather Jnr

No comments:

Post a Comment