HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 19 November 2013

MAADHIMISHO YA SIKU YA KUNAWA MIKONO NA MATUMIZI YA CHOO KIWILAYA YAFANA JIJINI TANGA

Mgeni Rasmi Mstahiki Meya wa Jiji La Tanga Mh Omar Guledi

Mgeni Rasmi akishudia ubunifu wa namna chombo cha kunawia mikono baada ya mtumiaji kutoka chooni
Mwanafunzi akionesha namna ya kunawa mikono baada ya kutoka chooni huku akishuhudiwa na mgeni Rasmi Mh Meya wa Jiji la Tanga

Wanafunzi wakiburudisha wageni waalikwa kwa nyimbo zenye mbalimbali zenye Ujumbe kuhusu siku hii

Baadhi ya Wadau wa Usafi wa Mazingira walio hudhuria Maadhimisho hayo
Ndg Marlaw Msuya Msatibu wa Usafi na Maji akiongea na Waandishi wa Habari

No comments:

Post a Comment