"Yang African Sport Club" pale dirisha dogo la Usajili litakapo funguliwa mnamo mwezi Januari Mwakani.
Licha ya Mlinda Mlango huyo nguli nchini kushindwa kulizungumzia suala hilo kwa karibu lakini baadhi ya ndugu na rafiki zake wa karibu wamekuwa wakivujisha Taarifa za mpango huo.
![]() |
| KASEJA WAKATI AKIITUMUKIA SIMBA |
"BAADHI YA WADAU WA SOKA NCHINI WAMEELEZA KUWA MAMBO YANAWEZA KUJIRUDIA KWA BARTHEZI KUSUGUA BENCHI KAMA ILIVYOKUWA WAKATI WAWILI HAO WAKIWA SIMBA"

No comments:
Post a Comment