HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Tuesday, 7 April 2015

"HII NI MPYA" USIEMPENDA KAJA , BEKI MKONGWE JUMA SAIDI NYOSSO KUWAKABILI AZAM FC KESHO CHAMAZI"



Juma Nyosso, beki mashuhuri wa MBEYA City Council FC ataingia uwanjani kesho ,08/04 kujiunga na wenzake dhidi ya Azam FC baada ya adhabu kabambe toka TFF, ikiwa ni katika mwendelezo wa michezo ya ligi kuu ya Soka Tanzania Bara.
"Beki Juma Nyosso"

“Kumbuka Nyosso alifungiwa mechi nane na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia kamati yake ya Nidhamu baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha mshambuliaji wa Simba Elias Maguri”

No comments:

Post a Comment