HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 20 March 2014

VIOJA VYA KARNE TANGA "BABU AMBAKA MJUU WAKE"



MTOTO wa miaka saba wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Mkata wilayani Handeni, Tanga amebakwa na babu yake na kumsababishia maumivu makali na kumwagika damu nyingi.
Tukio hilo lilibainika wakati mtoto huyo akiwa darasani na wenzake ambapo alianza kuvuja damu nyingi hali iliyowafanya wanafunzi wenzake kutoa taarifa kwa Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Moses Kimlayi, aliyefika kushuhudia tukio hilo.
Baada ya kupewa taarifa hiyo Mwalimu Kimlay alimkabidhi mwanafunzi huyo kwa walimu wa kike kwa lengo la kumchunguza kama kweli kuna unyama aliofanyiwa. Baada ya kumhoji mwanafunzi huyo alisema babu yake alimbaka na kumtishia asimueleze mtu yeyote.
Creit: Tanzania Daima

No comments:

Post a Comment