HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Friday, 14 February 2014

VPL: KIVUMBI LIGI KUU JUMAMOSI MBEYA CITY KUIBWAGA SIMBA NA KUWA VINARA?



Friday, 14 February 2014
RATIBA:
Jumamosi Februari 15
Rhino Rangers v Mgambo JKT
Ashanti United v Kagera Sugar
Mtibwa Sugar v Tanzania Prisons
JKT Oljoro v JKT Ruvu
Mbeya City v Simba
Ruvu Shooting v Coastal Union
+++++++++++++++++++++++
KIKOSI CHA MBEYA CITY

UWANJA wa Sokoine huko Jijini Mbeya, Jumamosi unatarajiwa kuwaka moto kwa pambano kali la VPL, Ligi Kuu Vodacom, ambapo Wenyeji Mbeya City wanawania ushindi dhidi ya Simba ili kutwaa uongozi wa Ligi hiyo.
 
KOCHA WA SIMBA ZDRACO LOGARUSIC

Mbeya City, ambao wako Nafasi ya Tatu, wakiifunga Simba watazipiku Yanga na Azam FC na kutwaa nafasi ya kwanza na Simba nao wakishinda watafikia Pointi 34 sawa na Mbeya City lakini wataipiku na wao kushika Nafasi ya Tatu kwa ubora wa Magoli.

Wikiendi hii, Azam FC, ambao ndio wanaongoza Ligi wakiwa na Pointi 36, na Timu ya Pili, Yanga, wenye Pointi 35, hawachezi kwa vile wako nje ya Nchi kucheza Mechi zao za Marudiano za Michuano ya Klabu Barani Afrika.

Azam FC wako huko Beira, Nchini Msumbiji kurudiana na Ferroviario da Beira huku wao wakiwa wameshinda Bao 1-0 walipocheza Dar es Salaam wakati Yanga wako Visiwa vya Comoro kurudiana na Komorozine de Domoni ambayo waliipiga 7-0 Jijini Dar es Salaam.

Mechi zinazofuata kwa Azam FC na Yanga ni hapo Februari 22 wakati Yanga watakapocheza na Ruvu Shooting na Azam FC kukutana na Tanzania Prisons.
Mbali ya Mechi ya Mbeya City na Simba, hiyo kesho zipo Mechi nyingine 5 za Ligi.
­­MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
GD
PTS
1
Azam FC
16
10
6
0
19
36
2
Yanga SC
16
10
5
1
22
35
3
Mbeya City
17
9
7
1
10
34
4
Simba SC
17
8
7
2
17
31
5
Coastal Union
17
4
10
3
4
22
6
Ruvu Shooting
16
5
7
4
2
22
7
Mtibwa Sugar
17
5
7
5
0
22
8
Kagera Sugar
17
5
7
5
0
22
9
JKT Ruvu
16
6
0
10
-8
18
10
Ashanti UTD
16
3
4
9
-14
13
11
JKT Oljoro
17
2
7
8
-14
13
12
Mgambo
17
3
4
10
-18
13
13
Rhino Rangers
17
2
6
9
-10
12
14
Prisons FC
14
1
7
6
-10
10

RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumatano Februari 19
Tanzania Prisons v JKT Ruvu
Jumamosi Februari 22
Ruvu Shooting v Yanga
Kagera Sugar v Rhino Rangers
Mtibwa Sugar v Ashanti United
Coastal Union v Mbeya City
JKT Oljoro v Mgambo JKT
Azam FC v Tanzania Prisons
Jumapili Februari 23
Simba v JKT Ruvu

No comments:

Post a Comment