HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA

HII NI KWA MARA YA KWANZA JIJINI TANGA
Tangaza biashara yako sasa uwafikie wateja wako kwa haraka na kwa gharama nafuu kupitia mfumo wa kisasa wa Digital Display Advertisement. Kupitia mfumo huu wateja wako watapata fursa ya kuona huduma zako na taarifa zote muhimu kupitia luninga kuwa za kisasa.

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA

KIJIWE KIPYA CHA BURUDANI JIJINI TANGA
MPANGO MZIMA WA KULA BATA UKO HAPA

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...

....HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO...
.....tumia fursa yako vizuri....

Thursday, 12 December 2013

"WATU 12 WAFA NA ZAIDI YA 90 WAJERUHIWA"HUZUNI YATANDA MKOANI TANGA" TAZAMA PICHA ZA MATUKIO KATIKA AJALI YA BASI LA BURUDANI LEO

Watu waliofurika nje ya Hospitali kuwatambua ndugu zao

Baadhi ya Majeruhi wakipatiwa Matibabu
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe (Kushoto)Mh Mrisho Gambo alifika kuwajulia hali majeruhi wa ajali hiyo




Basi Burudan likiwa limeharibika Vibaya baada ya kapata ajali
Na Godwin Lyakurwa Tanga

Akizungumza na Mtandao huu Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mh Mrisho Gambo amesema chanzo cha ajali hiyo ni basi hilo kugongwa na Lori ubavuni na kuacha njia na kisha kupinduka.

Watu 12 wamepoteza maisha akiwemo dereva wa basi hilo na zaidi ya 90 ni majeruhi ambapo 15 kati yao halizao ni mbaya na wamepelekwa KCMC kwa matibabu zaidi.




No comments:

Post a Comment